![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/47/Perugia_panoramic.jpg/640px-Perugia_panoramic.jpg&w=640&q=50)
Perugia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Perugia ni mji wa Italia katika mkoa la Umbria. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 170,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 493 kutoka juu ya usawa wa bahari.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/47/Perugia_panoramic.jpg/640px-Perugia_panoramic.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Perugia | |
Majiranukta: 43°06′44″N 12°23′20″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Umbria |
Wilaya | Perugia |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 166,253 |
Tovuti: www.comune.perugia.it |
Funga