Uajemi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uajemi (kutokana na Kiarabu العجم- al-'ajam) ni nchi ya Asia ya Magharibi. Kimataifa inajulikana zaidi kwa jina Iran (ايران).
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Kiajemi: Esteqlāl, āzādī, jomhūrī-ye eslāmī ("Uhuru, Huria, Jamhuri ya Kiislamu") | |||||
Wimbo wa taifa: Sorūd-e Mellī-e Īrān | |||||
Mji mkuu | Tehran 35°40′ N 44°26′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Tehran | ||||
Lugha rasmi | Kiajemi (Farsi) | ||||
Serikali Kiongozi Mkuu Rais |
Jamhuri ya Kiislamu Ali Khamenei (سید علی خامنهای) Ebrahim Raisi (سیدابراهیم رئیسی) | ||||
Mapinduzi imetangazwa |
11 Februari 1979 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,648,195 km² (ya 18) 0.7% | ||||
Idadi ya watu - 2013 kadirio - 1996 sensa - Msongamano wa watu |
78,192,200[1] (ya 18) 60,055,488 [2] 48/km² (ya 162) | ||||
Fedha | Rial (ريال) (IRR ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+3.30) not observed (UTC+3.30) | ||||
Intaneti TLD | .ir | ||||
Kodi ya simu | +98
- |
Funga
Jina rasmi ya nchi ni Jamhuri ya Kiislamu ya Iran au Uajemi. Uajemi imejulikana tangu kale kama nchi iliyochangia mengi katika historia ya binadamu.
Imepakana na Afghanistan, Armenia, Azerbaijan, Iraq, Pakistan, Uturuki na Turkmenistan.
Upande wa kusini kuna mwambao wa Ghuba ya Uajemi (Bahari Hindi) na upande wa kaskazini ni mwambao wa Bahari ya Kaspi.