Paulo Denn, S.J. (Lille, Ufaransa, 1 Aprili 1847 - Zhujihae 20 Julai 1900) alikuwa padri wa Ufaransa mmisionari nchini China aliyefia Ukristo huko wakati wa Uasi wa Waboksa waliovamia kanisa alimokuwa anawatia moyo waamini wakamchoma mbele ya altare pamoja na Leo Ignas Mangin na Maria Zhou Wuzhi[1].

Thumb
Picha yake halisi.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 mwaka 2000.

Sikukuu yao ya pamoja huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 20 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.