Nzi-nyuki (kutoka kwa Kiing. bee flies) au weleaji-sufu (kutoka kwa Kijerumani Wollschweber) ni nzi wa familia Bombyliidae katika oda Diptera walio na nywele nyingi kama nyuki na kuweka mabawa kwa pembe ya karibu 45º wakipumzika. Spishi nyingi zina “ulimi” mrefu sana ili kufyonza mbochi katika maua. Mabuu wao ni vidusia wa lava wa wadudu wengine kwa kawaida.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Nzi-nyuki |
Bombomyia discoidea nchini Afrika Kusini |
Uainishaji wa kisayansi |
Himaya: |
Animalia (Wanyama)
|
Faila: |
Arthropoda (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
|
Nusufaila: |
Hexapoda (Wanyama wenye miguu sita)
|
Ngeli: |
Insecta (Wadudu)
|
Ngeli ya chini: |
Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
|
Oda: |
Diptera (Wadudu wenye mabawa mawili tu)
|
Nusuoda: |
Brachycera (Diptera wenye vipapasio vifupi)
|
Familia ya juu: |
Asiloidea
|
Familia: |
Bombyliidae Latreille, 1802 |
|
Ngazi za chini |
Nusufamilia 16:
- Anthracinae Latreille, 1802
- Antoniinae Hull, 1973
- Bombyliinae Latreille, 1802
- Crocidiinae Hull, 1973
- Cythereinae Becker, 1913
- Ecliminae Hall, 1969
- Heterotropinae Becker, 1913
- Lomatiinae Schiner, 1868
- Mariobezziinae Becker, 1913
- Oligodraninae Evenhuis, 1990
- Oniromyinae Greathead, 1972
- Phthiriinae Becker, 1913
- Tomomyzinae Becker, 1913
- Toxophorinae Schiner, 1868
- Usiinae Becker, 1913
- Xenoprosopinae Hesse, 1956
|
Funga