![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9b/Chiba_Noda_Shimizu_Park_1.jpg/640px-Chiba_Noda_Shimizu_Park_1.jpg&w=640&q=50)
Noda, Chiba
mji katika Mkoa wa Chiba, Japan / From Wikipedia, the free encyclopedia
Noda (野田市, Noda-shi) ni mji wa Japani katika mkoa wa Chiba. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka 2008, mji una wakazi wapatao 153,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 17 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 103.54 km².
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9b/Chiba_Noda_Shimizu_Park_1.jpg/640px-Chiba_Noda_Shimizu_Park_1.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Noda | |||
| |||
Mahali pa mji wa Noda katika Japani |
|||
Majiranukta: 35°57′00″N 139°52′00″E | |||
Nchi | Japani | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Chiba | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 153,422 | ||
Tovuti: http://www.city.noda.chiba.jp/ |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8a/Noda_in_Chiba_Prefecture_Ja.svg/320px-Noda_in_Chiba_Prefecture_Ja.svg.png)