From Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa matumizi taofauti ya jina hili angalia hapa Ninga (Njombe)
Ninga | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Ninga wa Afrika (Treron calvus) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Jenasi 4; spishi 10 katika Afrika:
| ||||||||||||||
Ninga ni ndege wa nusufamilia Treroninae katika familia Columbidae. Spishi nyingi zina rangi ya majani na manjano, nyingine zina rangi ya buluu. Spishi hizi zinatokea Afrika na Asia. Hula matunda, hususa matini. Hulijenga tago lao mitini na jike huyataga mayai mawili.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.