Ng'ambo
ukarasa wa maana wa Wikimedia / From Wikipedia, the free encyclopedia
Ng'ambo inamaanisha mahali palipo upande mwingine wa kizuizi fulani kama mto, bonde, mlima au bahari. Mara nyingi inatumiwa kutaja sehemu iliyo mbali sana, kwa mfano "alikwenda kusoma ng'ambo" yaani katika nchi nyingine, kwa kawaida hata nje ya Afrika.
Neno latumiwa pia kama jina la maeneo kama kata, vijiji au vitongoji katika sehemu mbalimbali za Afrika ya Mashariki.
- kata ya Ng'ambo (Tabora mjini)
- kata ya Ng'ambo (Moshi Mjini)
- kata ya Ng'ambo (Baringo)
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |