Nevada
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nevada ni jimbo la Marekani upande wa magharibi ya nchi. Mji mkuu ni Carson City na mji mkubwa ni Las Vegas. Imepakana na Oregon, Idaho, Utah, Arizona na California.
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Nevada | |||
| |||
Nchi | ![]() |
||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Carson City | ||
Eneo | |||
- Jumla | 286,351 km² | ||
- Kavu | 284,448 km² | ||
- Maji | 1,903 km² | ||
Tovuti: http://www.nv.gov/ |
Funga
Jimbo lina wakazi wapatao 2,600,167 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 286,367.
31 Oktoba 1864 Nevada ikawa jimbo la 36 la Marekani.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d2/Map_of_Nevada_NA.png/640px-Map_of_Nevada_NA.png)