Nepal
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nepal ni nchi ya Asia ya Kusini iliyoko kwenye milima ya Himalaya na inayopakana na Uhindi na China.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: जननी जन्मभूमिष्च स्वर्गादपि गरीयसी (Sanskrit) "Mama na Taifa heri ya Mbinguni" | |||||
Wimbo wa taifa: Rastriya Gaan | |||||
Mji mkuu | Kathmandu 27°42′ N 85°19′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Kathmandu | ||||
Lugha rasmi | Kinepali | ||||
Serikali | Jahmuri ya shirikisho Bidhya Devi Bhandari (विद्या देवी भण्डारी) Pushpa Kamal Dahal | ||||
Maungano ya temi za Nepal {{{established_events}}} |
{{{established_dates}}} | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
147,516 km² (ya 93) 2.8 | ||||
Idadi ya watu - Julai 2022 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu |
30,666,598 (ya 49) 26,494,504 180/km² (ya 62) | ||||
Fedha | Rupia ya Nepal (NRs. ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
NPT (UTC+5:45) (haitumiki) (UTC+5:45) | ||||
Intaneti TLD | .np | ||||
Kodi ya simu | +977
- |
Funga
Jina rasmi ni jamhuri ya kidemokrasia ya shirikisho la Nepal.
Mlima Everest ambao ni mlima mrefu kuliko yote duniani uko Nepal.