Ndegeputo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ndegeputo (au purutangi) ni chomboanga kinachoelea kwa nguvu elezi ya gesi iliyoko ndani ya ganda lake. Chini ya chumba cha gesi inabeba behewa ya abiria na mizigo. Inasukumwa na injini za parapela.
Kimsingi kuna aina mbili za ndegeputo: