Natal
From Wikipedia, the free encyclopedia
Natal ilikuwa koloni ya Uingereza katika Afrika ya Kuini-Mashariki tangu 1856. 1910 ikaingia kama jimbo la Natal katika Muungano wa Afrika Kusini pamoja na koloni nyingine za Rasi, Transvaal na Dola Huru.
1994 jimbo la Natal liliunganishwa na bantustan ya KwaZulu kuwa jimbo jipya la KwaZulu-Natal.