![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8c/Flag_of_Myanmar.svg/langsw-640px-Flag_of_Myanmar.svg.png&w=640&q=50)
Myanmar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Myanmar (pia: Myama; Myamari) ni nchi ya Asia ya Kusini-Mashariki inayojulikana pia kwa jina la Burma au Bama.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: | |||||
Wimbo wa taifa: Kaba Ma Kyei | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Naypyidaw1 19°45′ N 96°12′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Yangon | ||||
Lugha rasmi | Kiburma | ||||
Serikali | Win Myint Aung San Suu Kyi | ||||
Uhuru Tarehe |
4 Januari 1948 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
676,578 km² (ya 40) 3.06% | ||||
Idadi ya watu - [[]] kadirio - 2014 sensa - Msongamano wa watu |
(ya 25) 51,486,253 76/km² (ya 125) | ||||
Fedha | Kyat ya Myanmar (K) (mmK ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
MMT (UTC+6:30) {{{time_zone_DST}}} (UTC{{{utc_offset_DST}}}) | ||||
Intaneti TLD | .mm | ||||
Kodi ya simu | +95
- | ||||
1Serikali kadhaa hutambua Yangon kama mji mkuu. |
Funga
Imepakana na China upande wa kaskazini, Laos upande wa mashariki, Uthai kusini-mashariki, Bangladesh na Uhindi magharibi.
Kuna pwani kwenye Bahari Hindi yenye urefu wa km 2,000.