Muazuki
From Wikipedia, the free encyclopedia
Muazuki (Vigna angularis) ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa azuki. Asili yake ni Asia ya Mashariki, Japani hasa. Katika Afrika ya Mashariki mmea huu hukuzwa mahali pachache, huko Somalia hasa. Azuki ni kiambato muhimu cha chakula cha Kisomali.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Muazuki (Vigna angularis) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Muazuki | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Funga