Ndege mkubwa kiasi wa maji wenye rangi ya kahawa From Wikipedia, the free encyclopedia
Msingwe au mnguri ni ndege mkubwa kiasi na spishi pekee ya jenasi Scopus na familia Scopidae. Umbo wa kichwa chake chenye domo refu na ushungi nyuma yake unakupa ono la nyundo, asili ya jina la ndege huyu kwa Kiingereza (hamerkop). Anatokea Afrika kusini kwa Sahara katika maeneo manyevu kama vile mito na milango yao, maziwa na mabwawa. Hula vyura, samaki na wadudu.
Msingwe | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Nususpishi 4:
| ||||||||||||||
Ndege hawa hujenga kiota kikubwa sana kinachofunikwa kwa mwitiko na kilicho na mwingilio upande. Kiota kina miingilio bandia kadhaa ili kudanganya maadui, kama nyoka na tai. Jike huyataga mayai 3-7.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.