From Wikipedia, the free encyclopedia
Moyen-Ogooué ni moja kati ya mikoa tisa ya Gabon. Mkoa umechukua eneo la kimomita za mraba zipatazo 18,535. Mji mkuu wa mkoa huu ni Lambaréné.
Makala haina vyanzo vya kutosha
Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote.
|
Peke yake miongoni mwa mikoa ya Gabon, Moyen-Ogooué haina pwani ya bahari wala mpaka wa nchi ya jirani. Mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:
Moyen-Ogooué imepakana na mingine mingi kuliko mkoa wowote nchini Gabon.
Moyen-Ogooué imegawanyika katika departments 2:
Makala hii kuhusu maeneo ya Gabon bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkoa wa Moyen-Ogooué kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.