Mnara wa Taa de Dona Maria Pia (unajulikana pia kama Farol da Ponta Temerosa oau Farol da Praia) ni [mnara wa taa] ambao uko kusini mwa kisiwa cha Santiago, nchiniCape Verde. Umesimama juu ya Rasi ya Ponta Temerosa, katika mlango wa Praia Harbour kilometa 2 kusini mwa mji wa kati wa Praia.

Mnara wa Taa umejengwa mnamo mwaka 1881 na kupewa jina la (Maria) Pia ambae aliekuwa Malkia wa Ureno muda wote. Mnara wenye umbo la pembe kumi una urefu wa mita 21, kilele na kutoka usawa wa bahari. Umepakwa rangi nyeupe.

Picha

Marejeo

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.