Mkoa wa Dakar
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Dakar (kwa Kifar.: Region de Dakar) ni mkoa mdogo kabisa kati ya mikoa 14 ya Senegal lakini ni mkoa wa mji mkuu na pia mkoa wenye wakazi wengi.
Mkoa huo unajumlisha mji mkuu Dakar, pamoja na miji ya karibu Pikine, Guédiawaye na Rufisque kwenye rasi ya Cap-Vert ambayo ni sehemu ya Afrika bara iliyopo upande wa magharibi zaidi.
Mkoa wa Dakar umegawanywa katika wilaya (departements) nne.
Wilaya | Eneo (km 2 ) | Idadi ya watu Sensa ya 2013 |
---|---|---|
Dakar | 79 | 1,146,053 |
Guédiawaye | 13 | 329,659 |
Pikine | 87 | 1,170,791 |
Rufisque | 372 | 490,694 |
Jumla ya Mkoa wa Dakar | 547 | 3,137,196 |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.