Mkoa wa Bartın
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bartın ni mji uliopo nchini Uturuki. Kihistoria pia unajulikana kama Parthenios. Bartın ni mji wa Mkoa wa Bahari Nyeusi ya Uturuki. Mji una wakazi wapatao 182,131 (kwa hesabu ya sensa ya mwaka wa 2008). Wilaya za mjini hapa ni pamoja na Amasra, Ulus, Kurucaşile, na Bartın Merkez ambazo kila moja ni tofauti sana na nyingine.
Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Bartın nchini Uturuki, Maelezo ...
![]() | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Bartın nchini Uturuki | |
![]() | |
Maelezo | |
Kanda: | [[Kanda ya {{{kanda}}}]] |
Eneo: | 2120 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 159,610 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 74 |
Kodi ya eneo: | 0378 |
Tovuti ya Gavana | http://www.bartin.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/bartin |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/57/Bart%C4%B1n_River.jpg/640px-Bart%C4%B1n_River.jpg)