From Wikipedia, the free encyclopedia
Aydın ni mkoa uliopo mjini kusini-magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mkoa upo kwenye Kanda ya Aegean . Mji mkuu wa mkoani hapa ni Aydın ambao una makadirio ya wakazi wapatao 150,000 (2000).
Mkoa wa Aydın | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Aydın nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Aegean |
Eneo: | 8007 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 998,621 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 09 |
Kodi ya eneo: | 0256 |
Tovuti ya Gavana | http://www.aydın.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/aydın |
Mkoa wa Aydın umegawanyika katika wilaya 17 (mji mkuu umekoozeshwa):
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.