![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d6/Mir%25C3%25A8io_%25281859%2529.jpg/640px-Mir%25C3%25A8io_%25281859%2529.jpg&w=640&q=50)
Mirèio
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mirèio ni kazi ya fasihi ya kishairi iliyoandikwa na Frédéric Mistral miaka ya 1851-1858 na kutolewa 1859. Ni kazi yake ya kwanza tena maarufu kabisa. Dhamira yake ni upendo baina binti mmoja na kijana. Mistral aliiandika kazi hiyo kwa lugha ya Kioksitani akitunga nyimbo kuminambili. Kila wimbo una beti zenye michororo saba, kama katika mashairi ya kimapokeo ya Ufaransa wa Kusini. Shairi la Mirèio limekuwa mfano hodari kwa maisha na utamaduni wa eneo hilo zima.
![Mirèio](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d6/Mir%C3%A8io_%281859%29.jpg/640px-Mir%C3%A8io_%281859%29.jpg)