![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d9/NBA_timberwolves-denver_2004_playoffs.jpg/640px-NBA_timberwolves-denver_2004_playoffs.jpg&w=640&q=50)
Minnesota Timberwolves
Timu ya mpira wa kikapu kutoka Marekani / From Wikipedia, the free encyclopedia
Minnesota Timberwolves ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Minneapolis, Minnesota. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Karl-Anthony Towns.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d9/NBA_timberwolves-denver_2004_playoffs.jpg/640px-NBA_timberwolves-denver_2004_playoffs.jpg)