![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a2/Milwaukee_Bucks_IMG_2535_%252861468257%2529.jpg/640px-Milwaukee_Bucks_IMG_2535_%252861468257%2529.jpg&w=640&q=50)
Milwaukee Bucks
Timu ya mpira wa kikapu ya Marekani / From Wikipedia, the free encyclopedia
Milwaukee Bucks ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Milwaukee, Wisconsin. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Giannas Antetokounmpo.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a2/Milwaukee_Bucks_IMG_2535_%2861468257%29.jpg/640px-Milwaukee_Bucks_IMG_2535_%2861468257%29.jpg)