Milima ya Kipengere (kwa Kiingereza: "Kipengere Range" au "Livingstone Mountains") iko kusini magharibi mwa Tanzania kwenye ncha ya kaskazini ya Ziwa Malawi.

Thumb
Mandhari ya milima ya Kipengere na misitu yake.

Milima yake ya kaskazini inaitwa pia Milima ya Poroto na ile karibu na ziwa inaitwa pia Milima ya Ukinga.

Ni safu ya milima inayoelekea kusini mashariki kutoka bonde la mto Ruaha Mkuu upande wa kaskazini hadi lile la mto Ruhuhu upande wa kusini kwa kufuata Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki.

Kilele chake ni Mlima Jamimbi (mita 2,400 juu ya usawa wa bahari) unayoshuka moja kwa moja ziwani.

Tazama pia

Tanbihi

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.