Meli ya abiria
From Wikipedia, the free encyclopedia
Meli ya abiria ni chombo kikubwa cha majini kilichotengenezwa kwa kusudi la kubeba watu hasa, mara nyingi pamoja na magari au kiasi cha mizigo.
Meli ya abiria ni chombo kikubwa cha majini kilichotengenezwa kwa kusudi la kubeba watu hasa, mara nyingi pamoja na magari au kiasi cha mizigo.