McKinsey & Company
From Wikipedia, the free encyclopedia
McKinsey & Company ni kampuni ya kimataifa ya ushauri wa masuala ya usimamizi duniani. Inafanya uchambuzi wa kutathmini maamuzi ya usimamizi katika sekta za umma na za kibinafsi. McKinsey inachapisha jarida la McKinsey Quarterly tangu mwaka wa 1964, inafadhili shirika la utafiti la the McKinsey Global Institute, linachapisha taarifa mbalimbali juu ya mada ya usimamizi, na linaandika vitabu vingi vya juu ya mada ya usimamizi.