![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/59/Female_Tipula_oleracea_%252810990569745%2529.jpg/640px-Female_Tipula_oleracea_%252810990569745%2529.jpg&w=640&q=50)
Mbu miguu-mirefu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mbu miguu-mirefu (kutoka kwa Kiholanzi langpootmuggen) ni mbu wakubwa wa familia ya juu Tipuloidea katika nusuoda Nematocera wa oda Diptera walio na miguu mirefu. Kwa kawaida mabawa, yaliyo marefu pia, huwekwa kwa pembe ya kati ya 45º na 90º kwa mwili wakipumzika, lakini spishi za nusufamilia Limoniinae (Tipulidae) huyaweka pamoja juu ya fumbatio. Wanatokea kwa kawaida mahali pa unyevu mabarani kote isipokuwa Antakitiki.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Mbu miguu-mirefu | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Tipula oleracea | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Familia 3:
| ||||||||||||||||
Funga