Mbiu ya Pasaka ni utenzi maalumu unaoimbwa na shemasi katika kesha la usiku wa Pasaka akiwa kwenye mimbari, karibu na mshumaa wa Pasaka.[1]

Thumb
Shemasi akiimba mbiu ya Pasaka.

Utenzi huo ni maarufu kwa jina la Exsultet (yaani Ifurahi) kutokana na neno la kwanza katika lugha asili, ambayo ni Kilatini.

Kuna ushahidi wa uwepo wake mwishoni mwa karne ya 4.

Kutokana na uzuri wake, Wolfgang Mozart alisema: "Ningetoa miziki yote niliyoitunga kama ningeweza kuwa mtunzi wa Exsultet!"

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.