Mbili
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mbili ni namba ambayo inafuata moja na kutangulia tatu. Kwa kawaida inaandikwa 2 lakini II kwa namba za Kiroma na ٢ kwa zile za Kiarabu.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c6/Evolution2glyph.png/199px-Evolution2glyph.png)
Mbili ni namba ambayo inafuata moja na kutangulia tatu. Kwa kawaida inaandikwa 2 lakini II kwa namba za Kiroma na ٢ kwa zile za Kiarabu.