![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b4/Zacuelu2.jpg/640px-Zacuelu2.jpg&w=640&q=50)
Maya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maya ni jina la ustaarabu uliostawi kusini mwa Meksiko ya leo (rasi ya Yucatan) pamoja na Gwatemala, Belize na sehemu za Honduras na El Salvador kuanzia mwaka 2000 hivi KK hadi waliposhindwa na Wahispania kutoka Ulaya (karne ya 16 na ya 17 BK).
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b4/Zacuelu2.jpg/640px-Zacuelu2.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c4/Madrid_Codex_9.jpg/640px-Madrid_Codex_9.jpg)