Maurizio Malvestiti
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maurizio Malvestiti (amezaliwa Marne, 25 Agosti 1953) ni askofu Mkatoliki nchini Italia.
Alipata upadrisho tarehe 11 Juni 1977.
Tarehe 26 Agosti 2014 ametangazwa kuwa askofu wa Jimbo la Lodi.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.