Maungano ya kifalme
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maungano ya kifalme ni hali ya kisiasa na kisheria ambako nchi mbili zinashirikiana mtu yuleyule kama mfalme wao au mkuu wa dola.
Nchi zote mbili zinaendelea kuwa madola ya pekee lakini mfalme ni yeye yule.
Maungano ya aina hii hupatikana katika utaratibu wa utawala wa kifalme lakini haipatikani katika utaratibu wa kijamhuri.