Matembele
From Wikipedia, the free encyclopedia
Matembele ni majani ya viazi vitamu ambayo hutumika kama mboga kwa kuliwa na chakula na pia ina virutubisho vifuatavyo: Protini, Niacin, Calcium na madini ya chuma.
Matembele ni majani ya viazi vitamu ambayo hutumika kama mboga kwa kuliwa na chakula na pia ina virutubisho vifuatavyo: Protini, Niacin, Calcium na madini ya chuma.