From Wikipedia, the free encyclopedia
Taifa ni kundi lolote la binadamu lenye utamaduni wake maalumu na mapokeo yake katika historia ya eneo fulani. Mara nyingi umoja wake unategemea pia lugha.
Kila mojawapo lina haki ya kujitambua hivyo na kuhamasisha mshikamano kati ya watu wanaoliunda hata kujipatia uhuru wa kisiasa walau kwa kiasi fulani.
Katika Kilatini linatumika neno natio linalotokana na nasci ("kuzaliwa").
Katika ngazi ya chini tunakuta kundi linaloitwa kabila.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.