From Wikipedia, the free encyclopedia
Masis (Kirmenia: Մասիս) zamani uliutwa Narimanlu, Zangibasar, Ulukhanlu, Razdan, na Hrazdan) ni mji uliopo kwenye Mkoa wa Ararat. Upo upande wa kushoto mwa ukingo wa Mto Hrazdan , takriban kilomita 14 kutoka kusini mwa mji wa Yerevan. Idadi ya wakazi wa hapa wamefikia kiasi cha watu 21,376 (kwa mujibu wa sensa ya mwaka wa 2001).
Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Masis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.