Maryland
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maryland ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Imepakana na majimbo ya Pennsylvania, West Virginia, Delaware, Virginia na mkoa wa shirikisho la Washington DC.
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Maryland | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Annapolis | ||
Eneo | |||
- Jumla | 32,133 km² | ||
- Kavu | 25,314 km² | ||
- Maji | 6,819 km² | ||
Tovuti: http://www.maryland.gov/ |
Funga
Iko kwenye pwani ya Atlantiki upande wa mashariki wa Marekani bara. Hori ya Chesapeake inagawa eneo la jimbo pande mbili.
Mji mkuu ni Annapolis na mji mkubwa ni Baltimore. Kwa miji mingine, angalia orodha ya miji.