![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d2/Ulu_Cami_%25C3%25B6n%25C3%25BCnden_Manisa%2527n%25C4%25B1n_g%25C3%25B6r%25C3%25BCn%25C3%25BC%25C5%259F%25C3%25BC_2010.jpg/640px-Ulu_Cami_%25C3%25B6n%25C3%25BCnden_Manisa%2527n%25C4%25B1n_g%25C3%25B6r%25C3%25BCn%25C3%25BC%25C5%259F%25C3%25BC_2010.jpg&w=640&q=50)
Manisa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Manisa (Kiosmani Kituruki: ماغنيسا Manisa; Kigiriki: Μαγνησία, Kilatini: Magnesia) ni jiji kubwa la Uturuki katika Kanda ya Aegean na ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Manisa. Kihistoria, mji mpi ulikuwa ukiitwa Magnesia, na zaidi uliitwa Magnesia ad Sipylum, kwa kufuatia jina la Mlima Sipylus (Mount Spil) ambao unaangaza juu ya mji. Takriban watu 1,319,920 wanaishi mjini hapa.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d2/Ulu_Cami_%C3%B6n%C3%BCnden_Manisa%27n%C4%B1n_g%C3%B6r%C3%BCn%C3%BC%C5%9F%C3%BC_2010.jpg/640px-Ulu_Cami_%C3%B6n%C3%BCnden_Manisa%27n%C4%B1n_g%C3%B6r%C3%BCn%C3%BC%C5%9F%C3%BC_2010.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Manisa | |
Nchi | Uturuki |
---|---|
Mkoa | Aegean |
Jimbo | Manisa |
Idadi ya wakazi (2007) | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,319,920 |
Tovuti: www.manisa.bel.tr |
Funga