Makazi (ekolojia)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Makazi (kwa Kiingereza na Kilatini: habitat) kwa maana ya elimu ya ekolojia ni eneo au mazingira ambayo ni makao ya mnyama au mmea fulani au aina nyingine ya viumbe hai. Ni mazingira ya asili ambapo kiumbe huishi, au mazingira ambayo yanazunguka idadi ya jamii.