Kuhusu mchezo angalia Gofu (michezo)

Thumb
Magofu ya msikiti huko Gedi, Kenya.

Gofu (pia ghofu; kutoka Kiarabu قف quff) ni namna ya kumtaja mtu au kitu kisicho katika hali zuri, kama mtu aliyekonda mno.[1]

Mara nyingi magofu yanataja sehemu ambako mabaki ya majengo ya zamani yanaonekana, kama vile magofu ya Gedi, magofu ya Kilwa Kisiwani.

Marejeo

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.