![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/45/Continentes.png/640px-Continentes.png&w=640&q=50)
Bara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bara (au kontinenti) ni pande kubwa la nchi kavu la Dunia linalozungukwa na bahari.[1] Kwa kawaida tunatofautisha mabara 7 ya Afrika, Amerika Kaskazini, Amerika Kusini, Antaktiki, Asia, Australia, na Ulaya.
![]() |
Ramani ya dunia inayoonyesha mabara saba yanayohesabiwa kwa kawaida. |