From Wikipedia, the free encyclopedia
Lombok ni kisiwa cha Indonesia. Kiko upande wa mashariki wa kisiwa cha Bali na upande wa magharibi wa kisiwa cha Sumbawa. Eneo la kisiwa ni 4514 km². Mji mkubwa kabisa kisiwani huitwa Mataram. Mwaka wa 2014 idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa 3,311,000.
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.