![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3e/Per%25C3%25BA_0_Lima.png/640px-Per%25C3%25BA_0_Lima.png&w=640&q=50)
Lima
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lima ni mji mkuu na kitovu cha uchumi wa Peru.
Ukweli wa haraka Habari za kimsingi, Mahali ...
' | |
Utawala | Mkoa wa Lima |
Historia | iliundwa 18 Januari 1535 |
Anwani ya kijiografia | Latitudo: 12°2′0"S Longitudo: 77°1′0"W |
Kimo | 110 m juu ya UB |
Eneo | 2.664,67 km² (mji) |
Wakazi | - mji: 7.584.000 |
Msongamano wa watu | watu 8.544 kwa km² |
Simu | +51 (nchi) 01 (mji) |
Mahali | |
![]() |
Funga
Mji uliundwa tar. 18 Januari 1535 na Francisco Pizarro kwa jina la "Ciudad de reyes" (mji wa wafalme). Leo hii una wakazi zaidi ya milioni sita.