LazioFrom Wikipedia, the free encyclopedia Lazio ni mkoa wa Italia. Uko katikati, upande wa magharibi. Sehemu ya mkoa wa Lazio Bendera ya Lazio Mahali pa Lazio katika Italia. Ni mkoa wa pili kwa wingi wa wakazi na kwa uchumi baada ya Lombardia. Mji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.
Lazio ni mkoa wa Italia. Uko katikati, upande wa magharibi. Sehemu ya mkoa wa Lazio Bendera ya Lazio Mahali pa Lazio katika Italia. Ni mkoa wa pili kwa wingi wa wakazi na kwa uchumi baada ya Lombardia. Mji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.