Lazio
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lazio ni mkoa wa Italia. Uko katikati, upande wa magharibi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/e1/Flag_of_Lazio.svg/640px-Flag_of_Lazio.svg.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/90/ItalyLazio.png/200px-ItalyLazio.png)
Ni mkoa wa pili kwa wingi wa wakazi na kwa uchumi baada ya Lombardia.
Mji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.