Kwango (au Cuango) ni mto wa Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni pia tawimto mrefu wa mto Kasai.
Chanzo | Nyanda za juu za Bié (Angola) |
Mdomo | Kasai |
Nchi | Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |
Urefu | 1,100 km |
Kimo cha chanzo | takriban 1,500 m |
Mkondo | ?? m³/s |
Eneo la beseni | ?? km² |
Chanzo chake kiko nyanda za juu za Bié katika Angola kikielekea kaskazini. Inakuwa mpaka kati ya Angola na Kongo halafu kuingia ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Inaishia kwenye mto Kasai karibu na mji wa Bandudu.
Tazama pia
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kwango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.