Kumi na tatu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kumi na tatu ni namba inayoandikwa 13 kwa tarakimu za kawaida na XIII kwa zile za Kirumi. Inafuata 12 na kutangulia 14.
13 ni namba tasa.
Kumi na tatu ni namba inayoandikwa 13 kwa tarakimu za kawaida na XIII kwa zile za Kirumi. Inafuata 12 na kutangulia 14.
13 ni namba tasa.