Pongo, kulungu au mbawala (Kiing. bushbuck) ni wanyama wa Afrika wa jenasi Tragelaphus katika familia Bovidae ambao wanafanana na Tandala.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Pongo
Thumb
Dume la pongo kusi (kulungu)
(Tragelaphus s. sylvaticus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia: Bovinae (Wanyama wanaofanana na ng'ombe)
Jenasi: Tragelaphus (Nyala, pongo na tandala)
de Blainville, 1816
Ngazi za chini

Spishi 2:

Thumb
Msambao wa pongo
Funga

Spishi

Zamani nususpishi 40 zilitofautishwa, lakini utafiti wa ADN wa sampuli nyingi umeonyesha kwamba kuna vikundi 19. Vikundi hivyo viliungana katika nususpishi mbili. Siku hizi zinachukuliwa kama spishi tofauti. Wanasayansi wengine wanatambua spishi nane tofauti, lakini hii bado inabishaniwa.

Picha

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pongo kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.