Kombe-kikonyo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kombe-kikonyo ni wanyama wa bahari wa faila Brachiopoda walio na makombe mawili, moja mgongoni na moja tumboni, na kikonyo kinachotumika kujiambatisha kwenye uso wa chini. Katika kombejozi kila kombe liko kwa ubavu. Makundi fulani ya kombe-kikonyo, kama vile familia Craniidae, hayana kikonyo na hujiambatisha mara kwa mara kwa uso wa chini.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kombe-kikonyo | ||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mfano wa kombe-kikonyo (Lingula anatina) | ||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||
| ||||||||
Ngazi za chini | ||||||||
Nusufaila 3, ngeli 3:
| ||||||||
Funga