Kiwiliwili (kilatini truncus „gogo“) ni sehemu kuu ya mwili bila kichwa, shingo, miguu na mikono na mkia.

Thumb
Kiwiliwili pamoja na mahali pa ogani mhimu ndani yake
Thumb
Kiwiliwili

Sehemu kuu za kiwiliwili

Kiwiliwili hutazamiwa kuwa na sehemu 4 ndani yake (pamoja na majina ya kilatini yanayotumiwa na matibabu)

Ogani muhimu katika kiwiliwili

Ogani nyingi muhimu zimo ndani ya sehemu za kiwiliwili, kwa mfano

  • Kifua huwa na
  • Fumbatio huwa na ogani za mfumo wa msago kama vile
    • maini yanayotegeneza (bile) ambayo ni lazima kwa msago
    • tumbo ambako chakula kinavunjwa na bile
    • utumbo mdogo na utumbo mkubwa zinazoondoa lishe kutoka chakula tumboni
    • mafigo
    • kibofu cha mkojo
  • Fupanyonga huwa na
    • viungo vya uzazi
  • Mgongo huwa na musuli muhimu na hasa

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.