![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/13/Warumungu_language.png/640px-Warumungu_language.png&w=640&q=50)
Kiwarumungu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiwarumungu (au Kiwarramunga) ni lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia inayozungumzwa na Wawarumungu katika jimbo la Northern Territory. Katika sensa ya mwaka 2006, idadi ya wasemaji wa Kiwarumungu ilihesabiwa kuwa watu 310. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiwarumungu kiko katika kundi lake lenyewe la Kiwarumungu.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/13/Warumungu_language.png/640px-Warumungu_language.png)