Kiwanggamala
lugha ya asili ya Australia iliyotoweka / From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiwanggamala kilikuwa lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia iliyozungumzwa na Wawanggamala katika jimbo la Northern Territory. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kiwanggamala ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiwanggamala kiko katika kundi la Kikarniki.