![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a6/Worrorran_languages.png/640px-Worrorran_languages.png&w=640&q=50)
Kiumiida
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiumiida kilikuwa lugha ya Kiworrorran nchini Australia iliyozungumzwa na Waumiida katika jimbo la Australia Magharibi. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kiumiida ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiumiida kiko katika kundi la Kiworrorran cha Magharibi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a6/Worrorran_languages.png/640px-Worrorran_languages.png)